Sheikhul Azhar amesema Qur'ani Tukufu ni kitabu ambacho Mwenyezi Mungu mwenyewe atakilinda kama alivyosema: "Hakika Sisi ndio tulioteremsha ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutakaoulinda"
Sheikh Ahmad al Tayyb amesema Waislamu wataendelea kuheshmu dini nyinginezo lakini ameonya kuwa Waislamu kamwe hawatavumilia kuona matukufu yao yakivunjiwa heshima.
653376