Mashindano hayo yanayosimamiwa na Gavana wa Makka Khalid Faisal yanalenga kuupendezesha mji huo mtukufu na kuufanya makumbusho makubwa ya sanaa ya Kiislamu.
Mashindano hayo yatawakutanisha wasanii wenye hamu ya kuhuisha sanaa na turathi za Kiislamu kutoka maeneo mbalimbali duniani. 654772