Kwa mujibu wa tovuti ya Brudirect, maonyesho hayo ambayo yanafanyika pambizoni mwa tamasha la wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Brunei yataendelea kwa muda wa wiki moja. Licha ya hayo, kongamano la mafundisho ya kaligrafia ya Kiislamu na mashindano ya ipigaji picha wa kaligrafia ya Kiislamu pia yatafanyika katika kipindi chote cha kufanyika tamasha hilo.
Makongamano ya usomaji Qur'ani na kaligrafia ya dijitali ya Kislamu pia yatafanyika katika tamasha hilo. 660075