Kwa mujibu wa tovuti ya kituo hicho, mmoja wa shakhsia muhimu watakaohutubia katika kikao hicho ni Sheikh Ahmad Badru Deen Hassoun, Mufti Mkuu wa Syria.
Mambo yatakayojadiliwa katika kikao hicho yatatangazwa na kutarjumiwa kwa lugha kadhaa kikiwemo Kiingereza. 664014