IQNA

Kituo cha Kiislamu cha Uingereza kuadhimisha uzawa wa Imam Ridha (as)

17:00 - October 10, 2010
Habari ID: 2010099
Sherehe za kuadhimisha uzawa wa Imam Ali bin Musa Ridha (as) Imam wa Nane kati ya Maimamu Watoharifu (as) zimepangwa kufanyika katika Kituo cha Kiislamu cha Uingereza.
Kwa mujibu wa tovuti ya kituo hicho, sherehe hizo zitafanyika Jumanne tarehe 19 0ktoba kwa kutekelezwa ratiba tofauti.
Wanazuoni, wanafikra na Waislamu wa madhehebu ya Kishia wanaoishi katika mji wa London watashiriki kwenye sherehe hizo ambazo zimepangwa kuanza saa 12.30 kwa wakati wa London mara tu baada ya kuswaliwa swala za Maghrib na Ishaa. 671259
captcha