IQNA

Kikao cha raia Waislamu wa Ulaya kufanyika Paris

12:49 - January 20, 2011
Habari ID: 2067827
Kikao kilichpopewa jina la: "Raia Waislamu wa Ulaya, Kutambua Haki, Wajibu na Majukumu" kimepangwa kufanyika Jumamosi ijayo ya tarehe 22 Januari mjini Paris Ufaransa.
Tovuti ya Saphirnews imeripoti kuwa kikao hicho kitahudhuriwa na Kan'an Arogo ambaye ni wakili wa Mahakama ya Paris na Muhammad Larbi Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Urafiki ya Ufaransa (AFAL). 733609
captcha