Rais Ahmadinejad ameyasema hayo mjini Tehran alipokutana na Rashid Meredov Waziri wa Mambo ya Nje wa Turkmenistan.
Kwingineko, Rais Ahmadinejad amesema mazungumzo ndio njia bora ya kutatua matatizo ya kieneo. Ameyasema hayo katika mkutano wake na Yusuf Bin Alawi Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman. Rais Ahmadinejad ameongeza kuwa madola ya Kimagharibi si marafiki wa kweli wa nchi za eneo la Mashariki ya Kati.
815157