‘Mji wa Qur’ani’ mkoani Basra utajumuisha shule ya chekechea, chuo cha Qur’ani na chuo kikuu cha Qur’ani maalumu kwa ajili ya kuhifadhi Qur’ani na mafunzo ya sayansi za Qur’ani.
Abdul Karim al Rumi mkuu wa masuala ya sanaa katika idara ya gavana wa Basra amesisitiza umuhimu wa Darul Qur’an Karim katika kutoa mafunzo ya sayansi za Qur’ani.
816049