Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, Sudani alikabidhi mwaliko huo Jumanne 26 Julai wakati akiongoza ujumbe wa Kiirani uliokutana na Sheikh Ahmad Tayyib mjini Cairo.
Katika mkutano huo Sheikhe Mkuu wa Al Azhar amesisitiza umuhimu wa maelewano miongoni wa Waislamu na vilevile udharura wa kuwepo umoja kati ya Waislamu.
Sudani alikuwa Cairo kushiriki katika kongamano la Mapambano ya Kiislamu.
832480