Sherehe hiyo ilihudhuriwa na Rais Mahmoud Ahmadinejad wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na mkuu wa taasisi iliyotajwa Sayyid Izzatullah Dharghami pamoja na wajumbe mbalimbali wa nchi zilizoshiriki katika kikao hicho.
Washindi wa vipindi bora zaidi vilivyowasilishwa kwa kamati maalumu za uchunguzi wa vipindi kabla ya kufanyika kikao hicho, walitunukiwa zaidi nono katika sherehe hiyo. 869535