Kwa mujibu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma ya kituo hicho, sherehe hizo zilianza saa moja hadi saa tatu usiku.
Waislamu wanaoishi mjini humo walishiriki kwenye ratiba mbalimbali ambazo ziliandaliwa na kituo hicho kwa mnasaba huo wa furaha ambapo walielezea kufurahishwa kwao kwa kupata fursa za kushiriki kwenye shererehe hizo za kumuenzi na kumtukuza mtukufu huyo wa Ahlul Beit ya Mtume (saw). 875961