Programu hiyo inajumuisha masuala ya kifiqhi pamoja na kamusi ya misamiati ya Kiislamu na masuala yanayohusiana na tiba ya Kiislamu, falsafa, fasihi nk.
Programu hiyo inajumuisha maelezo yenye thamani na kamili kwa ajili ya kutumiwa na wanachuo wa fiqhi pamoja na wengine wanaojihusisha na fiqhi.
Aliyetayarisha programu hiyo amewahi kuchapisha vitabu muhimu kuhusu fiqhi ya madhehebu ya Kiislamu.
905506