Katika salamu zake za rambirambi kwa familia za wahanga na serikali ya Pakistan, Ihsanoglu amesema mashambulio hayo ni ukiukaji mkubwa wa utawala wa Pakistan na ni jambo lilisokubalika.
Ameihakikishia Pakistan kuwa OIC itaendeleza ushirikiano wake na nchi hiyo na kusema kuwa hatua zichukuliwe kuzuia hujuma kama hizo.
Ihsanoglu ameitaka NATO kuzuia hatua zozote ambazo zitavuruga zaidi hali mbaya ya usalama katika eneo hilo.
907261