Kongamano la Kimataifa lenye anwani ya ‘Nafasi ya Wanawake katika Jamii ya Kiislamu inayobadilika’ linafanyika Disemba 21-25 huko Istanbul Uturuki chini ya usimamizi wa Muungano wa Kibunge wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na Wizara ya Familia na Sera za Jamii ya Uturuki.