Kongamano hilo linatarajiwa kufunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.
Kongamano hilo litajadili uzoefu wa kitaifa katika kuunda mfumo wa usawa wa kijinsia, kushirikishwa wanawake katika siasa, uimarishwaji demokrasia, haki za wanawake Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika, Uislamu na Demokrasia na uanzishwaji taasisi za kutetea haki za wanawake.
919452