Kongamano hilo litafanyika sambamba na maadhimisho ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu kwa hima ya Kituo cha Kiislamu cha Uingereza na Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bait (as) tawi la London.
Kongamano hilo litahutubiwa na wasomi, shakhsia na wanasiasa kutoka nchi mbalimbali.
Maudhui kuu ya kongamano hilo ni Mwamko wa Kiislamu na taathira zake katika matukio ya Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika. 939557