Sira na maisha ya hafidhi asiyeona wa Qur'ani Tukufu wa Pakistan yatachunguzwa katika kongamano litakalofanyika kwa ushirikiano wa ubalozi wa Pakistan nchini Bahrain chini ya usimamizi wa Kituo cha Utafiti wa Masuala ya Kiutamaduni na Elimu za Kiislamu Marekani na Canada.