Sherehe hiyo imefanyika sambamba na maadhimisho yanayofanyika kote nchini ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Sherehe hiyo imehudhuriwa na mtarjumi wa Qur'ani hiyo, mwakilishi wa Faqihi Mtawala, Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakfu ya Masuala ya Kheri na viongozi kadhaa wa taasisi mbalimbali.
Tarjumi hiyo imendikwa na Sulaiman Bajiso ambaye ni Mchina aliyehitimu sayansi za kidini nchini Iran na ametumia miaka kumi kukamilisha tarjumi hiyo. 946963