IQNA

Brunei yaandaa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani

21:59 - February 06, 2012
Habari ID: 2269847
Wizara ya Masuala ya Kidini Brunei inaandaa Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur'ani na Tafsiri katika mwaka huu wa 1433.
Kwa mujibu wa taarifa kwa waandishi habari iliyotolewa na wizara hiyo, mashindano hayo yanafanyika katika fremu ya kusherehekea matukio ya kihistoria katika kalenda ya Kiislamu. Mashindano hayo ya Qur'ani yanafanyika kwa mnasaba wa kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Nuzulul Qur'ani.
Mashindano hayo yanalenga kuwahimiza Waislamu nchini humo na hasa watoto, wanafunzi na vijana kujikurubisha zaidi na Qur'ani. Mashindano hayo yatakuwa na vitengo vinne
947819
captcha