Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Qatar imetangaza kuwa lengo la mashindano hayo ni kuwahamasisha wanafunzi wa shule mbalimbali kusoma na kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Mashindano hayo yanayofanyika kila mwaka yanafanyika kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi hadi sekondari na kila kitengo kimeainishiwa sura maalumu za kuhifadhi. 958526