Idara hiyo imesema kuwa tarehe maalumu ya kufanyika mashindano hayo inachunguzwa na kuna uwezekano yakafanyika katika msimu wa joto ujao katika vitengo vya kiraa na hifdhi ya Qur'ani pamoja na adhana.
Ofisi hiyo imetangaza kuwa watu wote wanaweza kushiriki katika mashindano hayo na kwamba washiriki wengi ni wanafunzi wa shule za kieneo.
Katika siku zijazo pia msikiti mkuu wa mji wa Tolyatti utakuwa mwenyeji wa masomo ya muda ya hifdhi ya Qur'ani Tukufu na misingi ya Uislamu. 982767