Kitabu cha 'Utafiti katika Historia ya Qur'ani Tukufu' ambacho kimeandikwa na Sayyid Muhammad Baqir Hujjati ni miongoni mwa vitabu vinne bora vilivyoshinda katika maonyesho ya vitabu vilivyoandikwa mwaka 2011 katika kitengo cha fasihi ya kimaanawi na historia ya kidini huko Russia.