Kitabu hicho kiliarifishwa katika maonyesho hayo yaliyomalizika hivi karibuni huko St. Petersburg nchini Russia na Taasisi ya Utafiti wa Kiislamu kwa ushirikiano wa Idara ya Mamufti wa Russia. Kitabu hicho kinachozungumzia mafundisho ya Qur'ani Tukufu, kimewavutia wasomi wengi tokea kilipochapishwa.
Maonyesho hayo ya 21 yameyashirikisha mashirika 167 kutoka majimbo 37 ya Russia. 996482