Mashidano ya 19 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Qatar yameanza katika mji mkuu wa Qatar, Doha. Kwa mujibu wa gazeti la Ash Sharq, raia 1500 wa Qatar pamoja na wafanyakazi wa kigeni watashiriki katika vitengo vyote vya kuhifadhi Qur'ani katika mashindano hayo.