Sherehe hizo zimetayarishwa na Waislamu wa madhehebu ya Shia na zitaanza alasiri hadi wakati wa Swala za magharibi na Ishaa.
Sherehe hizo zitahutubiwa na maulamaa wa Kislamu wa madhehebu ya Shia na kuhudhuriwa na Waislamu hususan Mashia kutoka kote nchini humo.
Sheikh Hassan Bagaruka ambaye ni imam wa Msikiti wa Imam Ali (as) amepangiwa kuzungumzia sifa na sira ya Mtume Muhammad (saw) katika sherehe hiyo. 1032162