Tukio hilo la kushangaza limeshuhudiwa na watu wengi wakiwemo viongozi wa kidini, wasomi na wahadhiri wa vyuo vikuu na kuakisiwa na kanali za televisheni.
Sayyid Hassan al Hakim ambaye ni miongoni mwa wahadhiri katika chuo kikuu cha kidini huko Iraq amesema tukio la kubadilika udongo huo wa kaburi la Imam Hussein unaohifadhiwa katika jumba la makumbusho la Haram ya Karbala ni taabiri ya dhulma na masaibu ya mjukuu wa Mtume (saw) Imam Hussein (as). 1143301