Odongo wa kaburi la Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) unaohifadhiwa katika jumba la makumbusho la Haram ya mjukuu huyo wa Mtume Muhammad (saw) ulibadilika na kuwa damu katika siku ya Ashura yaani tarehe 10 Muharram ambayo ndiyo siku aliyouawa ndani yake.