TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wanachangisha pesa kusaidia familia za raia wa Somalia wanaokabilia na baa la njaa.
Habari ID: 3471003 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/01
Mwanamke Mwislamu Mmarekani, Ilhan Omar ameweka historia kwa kuchaguliwa kugombea kiti katika Bunge la Wilaya ya 60B jimbo la Minnesota nchini Marekani.
Habari ID: 3470525 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/16
Mwandishi mwenye asili ya Somalia amebaini kuwa vyombo vya habari vya Magharibi hupuuza na kutozingaita habari kuhusu Waislamu wanaouawa katika vitendo vya kigaidi hasa nchini Somalia.
Habari ID: 3470515 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/11
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini yameanza siku ya jumatatu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3470255 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/19
Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamewataka raia wa nchi hiyo kuwa na umoja na mshikamano. Viongozi hao wamekutaja kudumishwa umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi kuwa ni jambo muhimu la lenye udharura.
Habari ID: 1396701 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/19