somalia - Ukurasa 3

IQNA

Mwanamke Mwislamu Mmarekani, Ilhan Omar ameweka historia kwa kuchaguliwa kugombea kiti katika Bunge la Wilaya ya 60B jimbo la Minnesota nchini Marekani.
Habari ID: 3470525    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/16

Mwandishi mwenye asili ya Somalia amebaini kuwa vyombo vya habari vya Magharibi hupuuza na kutozingaita habari kuhusu Waislamu wanaouawa katika vitendo vya kigaidi hasa nchini Somalia.
Habari ID: 3470515    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/11

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini yameanza siku ya jumatatu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3470255    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/19

Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamewataka raia wa nchi hiyo kuwa na umoja na mshikamano. Viongozi hao wamekutaja kudumishwa umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi kuwa ni jambo muhimu la lenye udharura.
Habari ID: 1396701    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/19