iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Mamia ya wanafunzi wanahofiwa kutekwa nyara katika jimbo la Katsina nchini Nigeria baada ya shule moja ya sekondari ya wavulana kuvamiwa na watu wenye silaha.
Habari ID: 3473451    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13