iqna

IQNA

magufuli
Katika mazishi ya aliyekuwa rais wa Tanzania, Magufuli
TEHRAN (IQNA) - Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amewavutia wengi baada ya kusimaisha hotuba yake kwa zaidi ya dakika moja kupisha wito wa swala (adhana) ya adhuhuri wakati akihutubu leo katika shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli mjini Dodoma.
Habari ID: 3473754    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/22