IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3480381 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16
IQNA – Mwambata wa kitamaduni wa Iran, Mohammadreza Ebrahimi, amesema kwamba mikusanyiko ya Qur'ani iliyopangwa kufanyika Indonesia kwa kushirikisha maqari wa Iran inalenga kuimarisha umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3480375 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Maqari maarufu wa Qur'ani kutoka Iran, Hamed Shakernejad na Ahmad Abolqassemi, wanatarajiwa kushiriki katika moja ya vikao vikubwa zaidi vya Qur'ani Tukufu katika Msikiti mashuhuri wa Istiqlal, Indonesia.
Habari ID: 3480370 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu ya Ustadh Ahmad Abulqasimi, mwalimu na qarii wa kimataifa Muirani akisoma Surat Al Fath imesambazwa.
Habari ID: 3474284 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11