iqna

IQNA

iswap
TEHRAN (IQNA)- Babagana Zulum Gavana wa Jimbo la Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria hivi karibuni alionya kuhusu hatari ya kuenea satwa ya kundi la kigaidi la Kiwahhabi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).
Habari ID: 3474982    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/27

TEHRAN (IQNA)- Maafisa tisa wakufunzi wa polisi Nigeria ambao ni wahadhiri wamerejea baada ya kutoweka kufuatia hujuma dhidi ya kambi yao iliyotekelezwa na kundi la igaidi linalofungamana na Daesh au ISIS.
Habari ID: 3474810    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/15

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wameua askari saba wa Jeshi la Nigeria kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474639    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limethibitisha habari ya kuangamizwa kinara wa genge la kigaidi la Daeshi au ISIS kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474427    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15

TEHRAN (IQNA)- Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa jeshi la nchi yake limemuangamiza Adnan Abou Walid al-Sahrawi, kinara wa tawi kundi la kigaidi la ISIS au Daesh Magharibi mwa Afrika (ISWAP).
Habari ID: 3474302    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16