ayatullah khamenei - Ukurasa 5

IQNA

Ayatullah Sayyid Ali Khamene
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyapongeza maandamano yanayoiunga mkono Palestina katika mataifa ya Magharibi kuwa ni "mwanga wa matumaini unaotia moyo."
Habari ID: 3479077    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

IQNA - Qari wa Iran Mohammad Bahrami, msomaji mahiri na mfanyakazi wa haki wa mkoa wa Lorestan, alisoma aya ya 74 hadi 78 za Surah Mubaraka wakati wa kikao cha maafisa wa mahakama na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi jana asubuhi tarehe 22 mwezi Juni 2024.
Habari ID: 3479004    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/23

Ujumbe wa Hija
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria jinai zinazofanywa na utawala katili na unaoelekea kusambaratika wa Israel huko Gaza na kusema: Suala la kujibari na kutangaza hasira dhidi ya washirikina ni kubwa zaidi mwaka huu kuliko huko nyuma.
Habari ID: 3478968    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/15

Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema amali za ibada tukufu ya Hija zinawatia hofu na wasiwasi mkubwa maadui.
Habari ID: 3478966    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amebainisha kuwa maandamano yanayoongozwa na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani katika kuunga mkono Palestina nni yamegeuza vyuo vikuu hivyo kuwa tawi la mrengo wa Muqawama (mapambano)
Habari ID: 3478933    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05

Hauli ya Imam Khomeini
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei leo mjini Tehran amehutubu katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 35 tangu aage dunia Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusema tukio chungu la kumpoteza rais wa nchi na taathira zake ni tukio muhimu zaidi nchini Iran katika mwaka mmoja uliopita.
Habari ID: 3478922    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/03

Nasaha
IQNA - Mwandishi wa Syria na mchambuzi wa masuala ya kisiasa ameitaja barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani kuwa "ni muhimu sana na yenye ushawishi mkubwa."
Habari ID: 3478920    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama ni utambulisho mzuri na bora wa Syria na akaeleza kwamba, nafasi maalumu iliyonayo Syria katika eneo ni kutokana na utambulisho huu na sifa hiyo muhimu inapaswa kuhifadhiwa.
Habari ID: 3478904    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/30

Nasaha
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa Marekani wamesimama katika upande sahihi wa historia huku akiwanasihi wajifunza Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478903    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/30

Mtazamo
IQNA - Kongamano limefanyika katika Maonesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran (TIBF) kujadili barua mbili za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei kwa vijana wa Magharibi.
Habari ID: 3478827    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/15

Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.
Habari ID: 3478791    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08

Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangaza kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake.
Habari ID: 3478779    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06

Idul Fitr
IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja  wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya  Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478667    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Kadhia ya Gaza
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478666    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Sikukuu ya Idul Fitr
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Habari ID: 3478662    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Siku ya Quds
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema siku ya Quds mwaka huu itakuwa uasi wa kimataifa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kuongeza kuwa: "Utawala wa Kizayuni wa Israel utazabwa kibao usoni kutokana na shambulio lake dhidi ya majengo ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, mapema wiki hii."
Habari ID: 3478630    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/04

Jinai za Israel
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Majenerali walioongoka wa Kiislamu katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria na kusisitiza kwamba: "Taifa la Iran litawafanya Wazayuni wajutie jinai hiyo na jinai zingine kama hiyo."
Habari ID: 3478616    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/02

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya mapambano ya Kiislamu ya wapigania ukombozi au Muqawama na Wapalestina wote katika Ukanda wa Gaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Gaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478598    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, Muqawama (mapambano ya Kiislamu) usio na kifani wa vikosi vya Muqawama na watu wa Ghaza umeutukuza Uislamu.
Habari ID: 3478588    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Katika Ujumbe wa Mwaka Mpya wa 1403 Hijria Shamsia
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe muhimu kwa mnasaba wa Nowruz ambayo ni siku ya kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa 1403 Hijria Shamsia na ameuita mwaka huo kuwa ni wa kuongezeka kwa uzalishaji wa kiuchumi kwa kushirikisha wananchi.
Habari ID: 3478549    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/20