lebanon - Ukurasa 5

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Misikiti imefunguliwa tena Lebanon baada ya kufungwa kwa muda mrefu kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3474003    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13

TEHRAN (IQNA) – Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali jumla ya kiafya ya kiongozi wa harakati hiyo, Sayyid Hassan Nasrallah ni nzuri.
Habari ID: 3473954    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/28

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa muqawama au mapambano ya mataifa dhidi ya wavamizi ndio njia pekee ya kuwashinda.
Habari ID: 3473944    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema marhum Sheikh Ahmad Zein daima alikuwa akitetea mapambano ya Wapalestina na kupinga njama zote zilizolenga matukufu ya taifa hilo.
Habari ID: 3473776    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/01

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemtumia ujumbe wa rambirambi Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kufuatia kuaga dunia Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya ya Maulamaa Waislamu Lebanon.
Habari ID: 3473701    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/04

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Lebanon, Sheikh Ahmed al-Zein, ameaga dunia Jumanne.
Habari ID: 3473700    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/03

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka kutocheza na moto huku akisisitiza kuwa hujuma yoyote ile ya Israel dhidi ya Lebanon itakabiliwa na jibu kali kutoka Hizbullah.
Habari ID: 3473657    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17

TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473353    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

TEHRAN (IQNA) - Saad Hariri ameteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Lebanon na sasa ametakiwa kuunda serikali yake ya nne, mwaka mmoja baada ya kuachia ngazi.
Habari ID: 3473287    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/23

TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Qur’ani kwa njia ya intaneti yameandaliwa na Kituo cha Darul Qur’an nchini Lebanon. Kituo hicho kinafungamana na Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473169    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

TEHRAN (IQNA) - Ismail HaniYa, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameonana ana kwa ana na Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kuzungumza naye mambo muhimu yanayohusiana na kambi ya muqawama.
Habari ID: 3473144    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniya, amefika nchini Lebanon kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27.
Habari ID: 3473130    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02

Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wametangaza kufungmana na wananchi wa Lebanon katika hasa jamaa za wale walipoteza maisha katika mlipuko wa Jumanne iliyopita mjini Beirut.
Habari ID: 3473051    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mlipuko uliotokea katika bandari ya Beirut ni janga kubwa la kibinadamu na kitaifa.
Habari ID: 3473045    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/08

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia tukio la mlipuko katika bandari ya Beirut nchini Lebanon na kutangaza kuwa pamoja na serikali na wananchi wa nchi hiyo katika kipindi hiki kigumu.
Habari ID: 3473039    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/06

TEHRAN (IQNA) – Rais Hassan Rouhani wa Iran amemtumia ujumbe wa rambi rambi mwenzake wa Lebanon Michel Aoun kufuatia miripuko iliyojiri katika mji mkuu wan chi hiyo Beirut.
Habari ID: 3473035    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05

Sheikh Mohammad Yazbek
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo inaweza kupambana na kuvunja njama zote za maadui kama tulivyovunja njama zao kijeshi huko nyuma kwa kujiamini na kuwa macho.
Habari ID: 3472956    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kaitbu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon uwepo wa majeshi ya Marekani katika eneo umetokana na kuimarika nguvu za harakati za mapambano ya Kiislamu au muqawama.
Habari ID: 3472806    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27

Sayyed Hassan Nasrallah kwa masaba wa Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema, hivi sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kuna utawala ghasibu ambao una hofu una hofu kuwa uhai wake hautazidi miaka 80.
Habari ID: 3472644    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08