lebanon - Ukurasa 2

IQNA

Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Muqawama
IQNA - Dada yake Abbas Al-Musawi, mwanzilishi mwenza na katibu mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, alielezea uungaji mkono wa harakati hiyo kwa Wapalestna wa Gaza ni sawa na kutetea utu wa binadamu.
Habari ID: 3479534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani ukatili wa Israel huko Lebanon na Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479499    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27

Umoja wa Kiislamu
IQNA - Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon Sheikh Ghazi Hunaina amesema kukabiliana wakufurishaji ni hatua ya lazima kuelekea kupatikana kwa umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3479494    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Muqawama
IQNA-Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetumia kombora la balestiki kulenga makao makuu ya shirika la kijasusi la Israel, Mossad huko Tel Aviv ikiwa ni kwa mara ya kwanza, suala lililosababisha wahka mkubwa na ving'ora katika mji huo na maeneo mengine ya Israel ikiwa ni pamoja na Netanya.
Habari ID: 3479492    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/26

Umoja wa Kiislamu
IQNA – Mwanazuoni mwandamizi wa Lebanon amesema Mtume Muhammad (SAW) ni mfano bora wa kuigwa kwa ajili ya umoja katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3479483    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Watetezi wa Haki
IQNA -Maandamano yamefanyika nchini Kanada kulaani vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479481    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Watetezi wa Haki
IQNA- Kiongozi wa juu wa kidini yaani Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani ameelezea mshikamano wake na Lebanon wakati nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu inaendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na ametaka zifanyike juhudi za dharura kusitisha uchokozi huo wa kikatili wa utawala huo na kuwalinda raia wa Lebanon.
Habari ID: 3479480    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Jinai za Israel
IQNA-Ndege za kivita za utawala ghasibu wa Israel zimefanya mashambulizi makali dhidi ya miji na vijiji vya Lebanon na kuua takriban watu 274.
Habari ID: 3479478    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Jinai za Israel
IQNA - Afisa mwandamizi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kusimama kidete harakati hiyo ya muqawama katika kuilinda nchi hiyo dhidi ya vitendo vya hivi karibuni vya kichokozi vya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3479454    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19

Matukio ya Imam Hussein (AS)
Kiongozi wa Kikristo wa Lebanon anasema uasi wa Imam Hussein (AS) unaenda zaidi ya dini kwani unawasilisha maadili ya binadamu kwa wote.
Habari ID: 3479169    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/22

Utawala wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametoa aya za Qur'ani Tukufu na kusisitiza kwamba mwisho wa utawala mbovu wa Israel utakuja mapema zaidi kuliko baadaye.
Habari ID: 3479139    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Kiongozi wa Hizbullah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema utawala haramu wa Israel mepata hasara "isiyo na kifani" mikononi mwa makundi ya Kiiislamu ya kupigania ukombozi wa Palestina (muqawama) na imeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya siku 100 za vita vyake vya mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478199    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/15

Qur'ani Tukufu
IQNA - Haitham Salim Ayyash, mtaalamu wa Qur'ani wa Lebanon, alisisitiza haja ya walimu wa Qur'ani kuwa na ufahamu wa kina wa mafundisho ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3478079    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa harakati za mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya) za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477543    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/03

Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala katili wa Israel lilishambulia maeneo ya Lebanon na Palestina katika Ukanda wa Gaza mapema Ijumaa, kufuatia kuvurumishwa makombora ya kulipiza kisasi kutoka Gaza na Kusini mwa Lebanon kutokana na mashambulizi ya kinyama ya utawala huo dhidi ya waumini wa Kipalestina ndani ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476825    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Kiongozi wa Hizbullah atahadharisha
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
Habari ID: 3476752    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24