TEHRAN (IQNA) - Mpalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
TEHRAN (IQNA)- Masomo ya Qur'ani yameanza tena katika misikiti ya Ukanda wa Ghaza siku ya Jumapili baada ya kufungwa kwa miezi miwili kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472936 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kuangusha ndege isiyo na rubani (drone) ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472713 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumapili lilishambulia kwa mizinga eneo la Ukanda wa Ghaza na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina, Mohammed Ali al-Naim aliyekuwa na umri wa miaka 27.
Habari ID: 3472502 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/24
TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi Wapalestina watatu katika uzio wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472396 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/22
TEHRAN (IQNA)- Makamanda wawili wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina wameuawa aktika hujuma mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472213 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/13
TEHRAN (IQNA) – Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewafyatulia risasi na kuwajeruhi makumi ya Wapalestina waliokuwa wakiandamana kwa amani katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huko katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472107 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/31
TEHRAN (IQNA)- Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa yamkini utawala haramu wa Israel umetenda jinai za kivita au jinai dhidi ya binadamu katika oparesheni zake za kijeshi zinazowalenga Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
Habari ID: 3471857 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/01
TEHRAN (IQNA) - Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewapiga risasi na kuwaua shahidi wapigania ukombozi kadhaa wa Palestina akiwemo kamanda mmoja wa ngazi za juu huko Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471739 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/12
Habari ID: 3471696 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/30
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeutahadahrisha vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kushadidisha mzingiro katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471599 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/18
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu na mataifa mengine duniani kukata uhusiano wao kikamilifu na utawala haramu wa Israel na kuangalia upya uhusiano na Marekani kama njia ya kujibu sera hasimu za tawala hizo mbili dhidi ya watu wa Palestina.
Habari ID: 3471521 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/19
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471512 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/14
TEHRAN (IQNA) – Wapalestina wameweka kambi maalumu za kusoma Qur'ani katika maeneo ya 'Maandamano ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza pamoja na kuwa wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamekuwa wakiwafyatulia risasi na kuwaua Wapalestina.
Habari ID: 3471498 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapiga jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarisha mrengo wa mapambano na muqawama katika Ulimwengu wa Kiislamu na kuzidisha mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na waungaji mkono wake.
Habari ID: 3471454 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/05
TEHRAN (IQNA)-Wapalestina wasiopungua 54 walipoteza maisha mwaka 2017 baada ya utawala haramu wa Israel kuwanyima vibali vya kupata matibabu nje ya eneo lililochini ya mzingiro la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471392 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/15
TEHRAN (IQNA)-Tamasha la 'Waumini wa Qur'ani Tukufu na Ukombozi wa Msikiti wa Al Aqsa' limefanyika katika Msikiti wa Ammar ibn Yasir katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471245 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03
TEHRAN (IQNA)- Kumefanyika kikao cha siri mjini Cairo kati ya nchi kadhaa za Kiarabu na Utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mustakabali wa eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471041 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29
Ujumbe maalumu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) unaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ili kuchunguza jinai za kivita zilizofanywa na utawala haramu wa Israel katika vita vya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3470548 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/04
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani ya Al Aqsa yanafanyika katika Ukanda wa Ghaza kwa usimamizi wa Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu Palestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3470512 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/10