iqna

IQNA

Rais Iran katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki na kusisitiza kuwa kadhia ya Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya pamoja kwa umma wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3473917    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametuma ujumbe kwa lugha 15 akitaka dunia iwaunge mkono Wapalestina wanaokandamizwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473916    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu nchini Iran (Bunge) amesema kuwa moyo wa Umma wa Kiislamu unaendelea kudunda kwa ajili ya Palestina, na Umma na makundi ya mapambano dhidi ya Uzayuni yataendelea kusimama kidete na kutetea malengo ya ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473915    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi ya jana ilishuhudia siku ya sita tokea utawala wa Kizayuni wa Israel unazishe hujuma ya kinyama dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473914    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)-Raia Wapalestina 133, wakiwemo sita wa familia moja, wameuawa katika mashambulio ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ghaza.
Habari ID: 3473913    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/15

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Afya ya Ukanda wa Ghaza ilikuwa imetangaza kuwa, wananchi 87 wa Palestina wameshauawa shahidi kutokana na mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni.
Habari ID: 3473905    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Israel zimetekeleza mashambulizi ya angani na nchi kavu dhidi ya eneo la Ukanda wa Ghaza mapema leo asubuhi.
Habari ID: 3473819    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/16

TEHRAN (IQNA) - Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa hatua za utawala wa Israel kuzuia chanjo ya COVID-19 kufika Palestina.
Habari ID: 3473796    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameandaa khitma kwa mnasaba wa kuwadia mwaka moja tokea auawe shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
Habari ID: 3473528    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/05

Kufuatia kuongezeka maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona katika Mji wa Ghaza, wakuu wa eneo hilo la Palestina wanatekeleza hatua kali za kudhibiti maambukizi.
Habari ID: 3473460    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15

TEHRAN (IQNA) - Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu janga la COVID-19 kusambaratisha mfumo wa afya katika eneo la Palestina la Ghaza, ambalo limezingirwa kinyama na Israel.
Habari ID: 3473389    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kutetea haki za binadamu yameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hujuma zake za kijeshi dhidi ya Ukanda wa Ghaza na uwalipe fidia wakulima uliowaharibia mashamba yao.
Habari ID: 3473356    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeupa utawala haramu wa Israel muhula mwa miezi miwili kuhitimisha mzingiro wake wa miaka 12 dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473194    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/22

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza hujuma zake dhidi ya Ukanda wa Ghaza kwa kuwaua shahidi Wapalestina wanne.
Habari ID: 3473100    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25

TEHRAN (IQNA) - Ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni leo asubuhi zimeshambulia ngome za harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473080    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/18

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi kulaani mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473072    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wametangaza kufungmana na wananchi wa Lebanon katika hasa jamaa za wale walipoteza maisha katika mlipuko wa Jumanne iliyopita mjini Beirut.
Habari ID: 3473051    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
Habari ID: 3473028    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03

TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wapalestina wameandamana katika Ukanda wa Ghaza kulaani hatua ya mahakama ya utawala haramu wa Israel kufunga lango la Bab al-Rahma la Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3472977    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA)- Ripota na mtaalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuuzingira Ukanda wa Ghaza kunakofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwaadhibu kwa umati wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3472974    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18