Harakati za Qur'ani nchini Iran
TEHRAN (IQNA) - Kamanda mwandamizi wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameesema kumekuwa na ustawi mkubwa katika kutoa mafunzo kwa wanaohifadhi Qur'ani Tukufu katika majeshi ya Iran
Habari ID: 3476308 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
Brigedia Jenerali Mohammad Baqeri
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Kamandi ya vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "hatujaghafilika hata kwa lahadha na sekunde moja kustawisha uwezo wa kiulinzi na nguvu za kijeshi za kuzuia hujuma dhidi ya nchi."
Habari ID: 3474675 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14