IQNA – Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amemkabidhi nakala ya Qur’ani Tukufu Papa Leo XIV, katika kikao chake na kiongozi wa Kanisa Katoliki aliyeko ziarani nchini humo.
Habari ID: 3481596 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01
TEHRAN (IQNA)- Nabih Berri, Spika wa Bunge la Lebanon amemtumia ujumbe Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei ambapo amempongeza kwa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474913 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10