Kadhia ya Palestina
Njaa imetanda katika Ukanda wa Gaza baada ya zaidi ya miezi tisa ya vita vya mauaji ya halaiki ya Israel kwenye eneo la pwani ya Palestina, kundi la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wanaonya.
Habari ID: 3479106 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11
Kadhia ya Palestina
Shirika la Euro-Mediterranean Human Rights Monitor limepokea ripoti kwamba vikosi vya utawala katili wa Israel vinahusika katika "mauaji yaliyoenea" katika vitongoji vya Shujayea na Jdaida katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479034 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/30
Jinai za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapamabano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas imetoa wito wa kuundwa muungano dhidi ya vitendo vya uchokozi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, baada ya takriban wanajeshi watatu wa Syria kuuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Israel dhidi ya Syria.
Habari ID: 3475627 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Israel wamemuua kijana wa Kipalestina wakati wa kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu
Habari ID: 3475423 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa ya Haki za Kibinadamu cheye makao yake makuu nchini Marekani katika Chuo Kikuu cha Sherai cha Harvard, katika ripoti ya hivi karibuni kwa Umoja wa Matai kiljlijiunga na jumuiya ya kimataifa kwa kutambua tabia ya ubaguzi wa rangi ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475058 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20