iqna

IQNA

Hadi al-Amiri
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Fat'h nchini Iraq amesema kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel ni hatua ambayo haikubali kwa namna yoyote ile.
Habari ID: 3475189    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30