NEW DELHI (IQNA) – Maelfu ya Waislamu mjini Mumbai, India, walijiunga na Matembezi ya Arubaini kutoa heshima kwa Imam Hussein (AS) na masahaba wake, licha ya hali ya hewa ya mvua.
Habari ID: 3477576 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10
Hali ya Waislamu India
UTTAR PRADESH (IQNA) - India mnamo Jumatatu ilifunga shule katika jimbo la kaskazini mwa India la Uttar Pradesh baada ya mwalimu wake kuwataka wanafunzi kumpiga vibao mwanafunzi mwenzao Mwislamu.
Habari ID: 3477516 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29
Waislamu India
NEW DelHI (IQNA) – Mwanamke Mwislamu alikabiliwa na ubaguzi katika shule moja huko Tamil Nadu, India, alipotakiwa kuvua hijabu yake wakati wa mtihani.
Habari ID: 3477480 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22
Waislamu India
NUH (IQNA) - Mahakama ya India imeuliza kama ubomoaji wa nyumba na biashara za wakazi hasa Waislamu katika jimbo la kaskazini la Haryana ni "zoezi la maangamizi ya kimbari".
Habari ID: 3477407 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Hali ya Waislamu India
New Delhi (IQNA) - Misikiti mingi katika kitovu muhimu cha biashara nje kidogo ya mji mkuu wa India, New Delhi ilifungwa kwa sala ya Ijumaa baada ya kifo cha watu sita wakati Wahindu wenye itikadi kali waliposhambulia misikiti na mali za Waislamu.
Habari ID: 3477390 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.
Habari ID: 3477368 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01
TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Sri Lanka nchini India Milinda Moragoda amemtunuku Balozi wa Saudia nchini India Saleh Eid Al-Husseini nakala ya tafsiri ya Kisinhala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477012 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Katika hafla iliyofanyika Lucknow, mji mkuu wa jimbo la Uttar Pradesh nchini India, washindi wa mashindano ya usomaji wa Qur'ani na Adhan wameenziwa.
Habari ID: 3476944 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya India yenye misimamo ya kufurutu ada imefuta historia ya watawala wa Kiislamu katika vitabu vya masomo na kuzidi kuthibitisha kwamba, inafuatilia kwa nguvu zote siasa za kukabiliana na Waislamu pamoja na historia yao.
Habari ID: 3476921 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27
Chuki dhidi ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mwanamume mmoja Mwislamu mwenye umri wa miaka 56 aliripotiwa kuuawa na genge la watu wenye chuki siku ya Jumatano kwa tuhuma kwamba alikuwa amebeba nyama ya ng'ombe katika jimbo la Bihar nchini India.
Habari ID: 3476686 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi Waislamu wa kike nchini India Jumatano wamewasilisha ombi katika Mahakama ya Juu ya India wakitaka waruhusiwe kufanya mitihani ya kila mwaka ya vyuo vya Karnataka wakiwa wamevalia vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3476614 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Mamlaka za India zimebomoa msikiti wa karne ya 16 huko Uttar Pradesh kama sehemu ya mradi wa kupanua barabara.
Habari ID: 3476418 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Kamati ya Hijja ya India imeripotiwa kutangaza kwamba mahujaji laki mbili wataruhusiwa kuhiji mnamo mwaka huu wa 1444 Hijria Qamarai sawa na 2023.
Habari ID: 3476228 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Ripoti zinaonyesha kuongezeka kwa uuzaji wa nguo za Kiislamu nchini India huku kukiwa na marufuku ya hijabu ya Kiislamu kusini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3476179 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01
Uislamu na Mazingira
TEHRAN (IQNA) – Faiza Abbasi, mhadhiri wa vyuo vikuu nchini India ambaye mkurugenzi wa Kituo cha Maendeleo ya Rasilimali Watu cha UGC, amesema Uislamu unafundisha ubinadamu na kutunza mazingira ya sayari ya dunia.
Habari ID: 3476141 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu wa India anasema maadui wanaleta migawanyiko katika ulimwengu wa Kiislamu kwa vile hawataki kuona maendeleo ya Waislamu.
Habari ID: 3475947 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa mamlaka nchini India zinazidi kuwakandamiza na kuwaadhibi Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3475891 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475852 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29
Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Mashirika na vikundi vya Kiislamu huko Mumbai nchini India vimeanza kampeni ya kukuza mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) katika mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Habari ID: 3475848 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Mpango unatayarishwa wa kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa msikiti katika kijiji cha Dhannipur cha Ayodhya katika jimbo la Uttar Pradesh nchini India.
Habari ID: 3475657 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21