iqna

IQNA

india
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yalifanyika Vijayawada, Jimbo la Andhra Pradesh nchini India.
Habari ID: 3478340    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Waislamu India
IQNA - Pakistan imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kulinda misikiti na maeneo ya turathi ya Kiislamu nchini India, kufuatia kuharibiwa kwa msikiti wa kihistoria wa Akhunji mjini New Delhi wiki iliyopita.
Habari ID: 3478329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Waislamu India
IQNA - Takriban watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati wa maandamano yaliyotokana na ubomoaji wa msikiti na shule wa Kiislamu nchini India, ikiwa ni tukio la hivi punde zaidi katika msururu wa ubomoaji unaolenga majengo ya Waislamu.
Habari ID: 3478323    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Waislamu India
IQNA - Msikiti wa Gyanvapi huko Varanasi, ni eneo la kihistoria iliyojengwa katika karne ya 17, umekuwa kitovu cha hivi punde katika mzozo wa muda mrefu wa kisheria kati ya Wahindu na Waislamu nchini India.
Habari ID: 3478291    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Waislamu India
IQNA-Kama ilivyokuwa ikitarajiwa, baada ya kuzinduliwa hekalu la Ram, ambalo lilijengwa na Wahindu wenye itikadi kali katika sehemu ambayo zamani palikuwa na msikiti wa Babri katika jimbo la Uttar Pradesh, duru mpya ya mashinikizo ya kijamii dhidi ya Waislamu wa India imeanza.
Habari ID: 3478256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Hali ya Waislamu India
IQNA - Baadhi ya Waislamu wanaoishi karibu na hekalu jipya la Wahindu huko Ayodhya, India, wanapanga kuzihamisha familia zao kabla ya mwezi ujao wa uzinduzi wa hekalu ambalo limejengwa katika eneo la msikiti uliokuwa maarufu uliojulikana kama Masjid Babri, wakihofia kutokea mapigano na wafanyaziara wa Kihindu.
Habari ID: 3478068    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Kadhia ya Kashmir
IQNA - Mamlaka katika eneo linalozozaniwa la Kashmir linalotawaliwa na India haikuruhusu Sala ya Ijumaa ya jamaa kwenye Msikiti wa Jamia huko Srinagar kwa wiki ya kumi mfululizo.
Habari ID: 3478042    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

Elimu na Ustawi
NEW DELHI (IQNA) - Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Aligarh (AMU), chuo kikuu kikuu cha umma huko Aligarh, Uttar Pradesh ya India, kimezindua mpango wa anga za mbali ambao unalenga kurusha satelaiti katika siku zijazo.
Habari ID: 3477813    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, serikali ya India imechukua mkono wa sera za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali vya New Delhi, mji mkuu wa nchi hiyo wameandamana na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Gaza.
Habari ID: 3477790    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
Habari ID: 3477669    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana na ripoti ambayo inaangazia mwelekeo unaoongezeka wa chuki dhidi ya Uislamu nchini India tangu 2014.
Habari ID: 3477656    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Chuki dhidi ya Uislamu nchini India imeenea zaidi kuliko hapo awali, alisema waziri mkuu wa zamani na makamu wa rais wa Mkutano wa Kitaifa, Omar Abdullah.
Habari ID: 3477646    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Familia ya Nurul Hassan, mhandisi Mwislamu katika jimbo la Maharashtra nchini India, iko katika hali ya mshtuko baada ya kuuawa kwake kikatili na kundi la Wahindu kwenye msikiti.
Habari ID: 3477609    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16

NEW DELHI (IQNA) – Maelfu ya Waislamu mjini Mumbai, India, walijiunga na Matembezi ya Arubaini kutoa heshima kwa Imam Hussein (AS) na masahaba wake, licha ya hali ya hewa ya mvua.
Habari ID: 3477576    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10

Hali ya Waislamu India
UTTAR PRADESH (IQNA) - India mnamo Jumatatu ilifunga shule katika jimbo la kaskazini mwa India la Uttar Pradesh baada ya mwalimu wake kuwataka wanafunzi kumpiga vibao mwanafunzi mwenzao Mwislamu.
Habari ID: 3477516    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Waislamu India
NEW DelHI (IQNA) – Mwanamke Mwislamu alikabiliwa na ubaguzi katika shule moja huko Tamil Nadu, India, alipotakiwa kuvua hijabu yake wakati wa mtihani.
Habari ID: 3477480    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Waislamu India
NUH (IQNA) - Mahakama ya India imeuliza kama ubomoaji wa nyumba na biashara za wakazi hasa Waislamu katika jimbo la kaskazini la Haryana ni "zoezi la maangamizi ya kimbari".
Habari ID: 3477407    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09

Hali ya Waislamu India
New Delhi (IQNA) - Misikiti mingi katika kitovu muhimu cha biashara nje kidogo ya mji mkuu wa India, New Delhi ilifungwa kwa sala ya Ijumaa baada ya kifo cha watu sita wakati Wahindu wenye itikadi kali waliposhambulia misikiti na mali za Waislamu.
Habari ID: 3477390    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Naibu Imamu wa Sala ya jamaa ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuufyatulia risasi na kuuchoma moto msikiti katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii zilizozuka katika wilaya jirani.
Habari ID: 3477368    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Sri Lanka nchini India Milinda Moragoda amemtunuku Balozi wa Saudia nchini India Saleh Eid Al-Husseini nakala ya tafsiri ya Kisinhala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477012    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17