TEHRAN (IQNA) – Maandamano makubwa yamefanyika nchini India kulaani kitendo cha kuchapshwa maandishi yanayomvunjia heshima Mtume Mtukufu wa Uislamu Muhammad, Rehma na Amani ya Allah iwe Juu Yake na Kizazi Chake (SAW)
Habari ID: 3473064 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuweka hatua kandamizi za usalama wakati huu kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.
Habari ID: 3473038 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Haki za Binadamu (IHRC) lenye makao yake London amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu ukandamizaji wa jamii za Waislamu waliowachache nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3472989 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22
TEHRAN (IQNA) – Kamati ya Hija ya India imesema Waislamu nchini humo hawataweza kusafiri hadi mji wa Makka, Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472842 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06
TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini India amesisitiza umuhimu wa Waislamu kudumisha mafanikio waliyoweza kuyapata katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472804 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26
TEHRAN (IQNA) – Chama tawala nchini India, Bharatiya Janata (BJP), kimetoa wito wa umoja na maelewano ya kidini baada ya malalamiko ya kimataifa kufuatia ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3472719 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/30
TEHRAN (IQNA)- Ubaguzi wa Waislamu nchini India ambao umeongezeka katika miezi ya hivi karibuni sasa umekithiri zaidi wakati huu wa janga la corona.
Habari ID: 3472690 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/21
TEHRAN (IQNA) – Ugonjwa wa COVID-19 au corona umepelekea kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu nchini India.
Habari ID: 3472631 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/04
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imelaani mauaji yanayofanywa ma Wahindu wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini India na kuitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mauaji na jinai hiyo.
Habari ID: 3472559 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/13
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Nouri Hussein Hamedani ambaye ni miongoni mwa viongozi wa juu wa kidini nchini Iran amelaani ukatili na mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India na kukosoa kimya cha vyombo vya habari duniani kuhusiana na mauaji hayo.
Habari ID: 3472540 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/07
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitahadharisha serikali ya India dhidi ya kuendelea kutekeleza mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, ukandamizaji unaoendelea kufanyiwa Waislamu katika nchi hiyo ya kusini mwa Asia utapelekea serikali ya New Delhi itengwe katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472535 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu nchini India na ameitaka serikali ya New Delhi, itumie mbinu na uwezo wote kwa ajili ya kuhitimisha mzozo uliopo kwa njia za amani.
Habari ID: 3472534 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/05
TEHRAN (IQNA) – India inatambuliwa kama nchi ya kidemokrasia yenye muujiza wa kisasa kutokana na kuwa na idadi kubwa ya watu wa kaumu, kabila na dini mbali mbali wamekuwa wakiishi pamoja
Habari ID: 3472524 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/02
TEHRAN (IQNA)- Watu wa Marekani wenye asili ya India wameandamana katika miji mikubwa ya Marekani kulaani mauaji ya makumi katika ghasia za kupinga sheria mpya ya uraia nchini India.
Habari ID: 3472517 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/01
TEHRAN (IQNA) - Idadi ya watu waliouawa katika ghasia zinazosababishwa na sheria tata yenye kuwabagua Waislamu katika mji mkuu wa India, New Delhi inazidi kuongeza ambapo takwimu mpya zinaonyesha kuwa, idadi hiyo imefikia 30 huku mamia ya watu wengine wakijeruhiwa.
Habari ID: 3472511 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/27
TEHRAN (IQNA) – Msikiti umeteketezwa moto Jumanne katika mtaa wa Ashok Vihar katika mji mkuu wa India, New Delhi huku maandamano ya kupinga sheria mpya ya uraia yakiendelea.
Habari ID: 3472507 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/26
TEHRAN (IQNA) – Mbunge katika chama tawala chenye misimamo mikali ya Kihindu cha Bharatiya Janata (BJP) nchini India ametishia kuwa, misikiti iliyojengwa katika 'ardhi ya serikali' katika mji wa New Delhi itabomolewa.
Habari ID: 3472386 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/19
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya watu wa India wameukaribisha mwaka mpya wa 2020 Miladia kwa maandamano ya kupinga sheria ya uraia inayowabagua Waislamu.
Habari ID: 3472327 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/02
TEHRAN (IQNA) - Watu wengine nane wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga sheria iliyo dhidi ya Waislamu nchini India, huku taasisi za kimataifa, nchi na shakhsia mbalimbali duniani wakiendelea kukosoa hatua ya kupasishwa sheria hiyo tata.
Habari ID: 3472291 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20
TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua sita wameuawa India baada ya kupigwa risasi na polisi katika aandamano ya kupinga muswada wa uraia nchini India na ambao uko dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3472278 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15