iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu kutoka dini zote walikusanyika mjini Johannesburg siku ya Ijumaa kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na vitisho vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu katika baadhi ya maeneo ya India.
Habari ID: 3474979    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa, hususan Umoja wa Mataifa na mashirika husika ya kimataifa ya haki za binadamu, kuiwajibisha India kutokana na kukithiri ukiukaji wake wa haki za binadamu dhidi ya walio wachache, hasa Waislamu.
Habari ID: 3474971    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za Umoja wa Mataifa wametaka kukomeshwa kwa mashambulizi ya mtandaoni "ya kuchukiza dhidi ya wanawake na ya kimadhehebu" dhidi ya mwanahabari Muislamu nchini India, wakiomba mamlaka kuchunguza unyanyasaji huo.
Habari ID: 3474966    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23

TEHRAN (IQNA)- Wabunge kadhaa nchini Kuwait wametaka wanachama wa chama tawala India, Bharatiya Janata (BJP) wapigwe marufuku kuingia nchini humo kutokana na kuhusika kwao na ukandamizaji wa Waislamu nchini India.
Habari ID: 3474955    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21

TEHRAN (IQNA)- Huku mzozo wa Hijabu ukiendelea kutokota katika jimbo la Karnataka nchini India, wanawake Waislamu wameandamana katika mji wa Ludhiana, jimboni Punjab kuunga mkono haki ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3474924    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji nyota wa Manchester United, Paul Pogba aliingia kwenye mitandao ya kijamii siku ya Alhamisi na kusambaza video yenye kuwatetea wanawake Waislamu India wanaovaa Hijabu kufuatia mzozo unaoendelea kuhusu Hijab katika Jimbo la Karnataka nchini India.
Habari ID: 3474914    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10

TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyowekwa kwenye mtandao wa Twitter ikimuonyesha mwanafunzi Muislamu aliyevaa hijabu akibughudhiwa kwa maneno na genge la wahindu wenye misimamo ya kufurutu mpaka katika chuo kimoja cha jimbo la Karnataka nchini India, imezusha moto wa hasira na kuzidisha malalamiko ya kupinga marufuku ya uvaaji hijabu iliyowekwa katika taasisi za elimu za jimbo hilo.
Habari ID: 3474910    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09

TEHRAN (IQNA)- Video zinazowaonyesha viongozi wa kidini wa Kihindu nchini India wakitoa wito wa mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu zimezua hasira na wito madai ya kuchukuliwa hatua dhidi ya wahusika.
Habari ID: 3474719    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/25

TEHRAN (IQNA) – Mamia ya watu kutoka dini mbali mbali wamekusanyika katika miji kadhaa mikubwa Marekani kulaani hatua ya Facebook kuruhusu matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3474564    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/16

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu amelaani vikali hujuma za hivi karibuni dhidi ya Waislamu nchini India huku akitoa wito wa kuanzishwa harakati yakimataifa ya kutetea Waislamu ambao wanaishi kama jamii za waliowachache.
Habari ID: 3474495    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu katika jimbo la Tripura kaskazini mashariki mwa India wameitaka serikali ya nchi hiyo ichukue hatua za kuzuia magenge ya Wahindu wenye misimamko mikali kuwashambulia Waislamu na misikiti.
Habari ID: 3474487    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/29

TEHRAN (IQNA)- Wahindu wenya misimamo mikali katika jimbo la Tripura kaskazini mashariki mwa India wamewahujumu Waislamu na kuharibu misikiti minne kwa sababu ya kulipiza kisasi kutokana na kile wanachodai ni kusumbuliwa Wahindu katika nchi jirani ya Bangladesh.
Habari ID: 3474483    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/28

TEHRAN (IQNA)- Mfanyakazi wa zamani wa mtandao wa Facebook amesema shirika hilo la Kimarekani lilipuuza kwa makusudi taaraifa zilizo na chuki dhidi ya Waislamu ambazo zilikuwa zikienezwa katika mtandao huo nchini India.
Habari ID: 3474396    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08

TEHRAN (IQNA)- Wahindi wenye misimamo mikali katika jimbo la Assam nchini India wameshadidisha hujuma dhidi ya Waislamu eneo hilo.
Habari ID: 3474389    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili ametoa wito kwa Ummah wa Kiislamu duniani kuungana na kuwatetea Waislamu wa India.
Habari ID: 3474358    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza na mkongwe zaidi nchini India unatazamiwa kufunguliwa tena baada ya kurejea katika hadhi na adhama yake ya awali.
Habari ID: 3474331    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23

TEHRAN (IQNA)- Huku India ikiendelea kusakamwa na ongozeko kubwa sana la maambukizi ya COVID-19, hospitali na vituo vya afya nchini humo ambazo hazina nafasi tena sasa zinapokea msaada wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473858    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/28

TEHRAN (IQNA)- Msikiti unaoaminika kuwa mdogo zaidi duniani unaojulikana kama Masjid Mir Mahmood Shah au Jinn ki Masjid huko Hyderbad nchini India unahitaji ukarabati wa dharura.
Habari ID: 3473623    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05

TEHRAN (IQNA) – Pakistan imetoa wito kwa serikali ya India ilinde haki za jamii za waliowachache hasa Waislamu na ihakikishe kuwa wanapata usalama na uhuru wa kuabudu.
Habari ID: 3473432    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

TEHRAN (IQNA) –Dereva wa taxi katika eneo la Hyderabad nchini India amefanikiwa kuandika nakala nzima ya Qur’ani kwa mkono katika kipindi cha miezi sita wakati wa zuio la kutotoka nje ya nyumba kufuatia kuibuka janga la corona.
Habari ID: 3473223    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02