iqna

IQNA

Uistikbari
IQNA - Mjumbe mkuu wa Baraza la  Wanazuoni Wataalamu la Iran amesitiza mizizi ya Qur'ani ya mapambano dhidi ya mfumo wa kiburi au uistikbari duniani.
Habari ID: 3479697    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04

Iran
IQNA-Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari wa Dunia ambayo huadhimishwa tarehe 13 Aban (Novemba 3 au 4) kila mwaka hapa Iran, yamefanyika Tehran na katika miji mingine kote Iran.
Habari ID: 3479693    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03

Mwamko dhidi ya Marekani
TEHRAN(IQNA)- Washiriki katika maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Ubeberu inayosadifiana na leo 4 Novemba, wamesisitiza udharura kuwepo mapambano endelevu dhidi ya njama za kuzusha fitna, ghasia na fujo.
Habari ID: 3476032    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyid Ali Khamenei amesema kuhusu matukio ya dunia yanayoendelea kujiri katika nchi za Afghanistan, Ukraine na Yemen kwamba: "matukio yote haya yanaonyesha ukweli wa taifa la Iran na machaguo sahihi liliyofanya katika kupambana Uistikbari."
Habari ID: 3475065    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama kidete, kutomfuata adui na kulinda utambulisho wa kimapinduzi na Kiislamu ni sababu kuu za kuwa na nguvu mfumo wa Kiislamu na taifa la Iran na kwamba, Marekani na madola mengine makubwa yamekasirishwa mno na jambo hili.
Habari ID: 3470334    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24