iqna

IQNA

Watu 8 waliokuwa wamingia msikitini kupata hifadhi wameuawa katika hujuma ya watu waliokuwa na silaha katika eneo la El Geneina katika eneo la Darfur Magharibi mwa Sudan.
Habari ID: 3470336    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/25