Maoni
IQNA-Afisa wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa taarifa za kijasusi za Israel zilichochea mapigano ya Darfur, Sudan ili kuisukuma hali kuelekea kwenye mgogoro na mgawanyiko zaidi, na kwamba mapigano ya sasa nchini humo hatimaye yataishia kwa kugawanywa katika maeneo kadhaa.
Habari ID: 3481576 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/27
Watu 8 waliokuwa wamingia msikitini kupata hifadhi wameuawa katika hujuma ya watu waliokuwa na silaha katika eneo la El Geneina katika eneo la Darfur Magharibi mwa Sudan.
Habari ID: 3470336 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/25