iqna

IQNA

IQNA – Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Iran imepanga shughuli na maadhimisho ya kitaifa yenye sura ya kitamaduni, kidini na kijamii kwa ajili ya kusherehekea Sikuukuu ya Ghadir (Idul Ghadir), likiwa ni tukio mashuhuri linaloenziwa na Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani kote.
Habari ID: 3480825    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ali (AS), imtangaza kuanza kwa maadhimisho ya Wiki ya Kimataifa ya Idul Ghadir, yakihusisha ushiriki kutoka zaidi ya mataifa 40 katika mabara matano.
Habari ID: 3480824    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA)- Jumatatu 18 Julai mwaka 2022 inayosadifiana na tarehe 18 Dhul-hija mwaka 1443 Hijria ni Sikukuu ya Idul Ghadir Khum, moja ya Idi kubwa za Waislamu.
Habari ID: 3475515    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA) - Kozi za Qur'ani Tukufu za Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali (AS) huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, zimehitimishwa kwa sherehe Jumapili jioni.
Habari ID: 3475514    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17