iqna

IQNA

Wanamichezo Waislamu
IQNA – Nyota wa Marekani katika mchezo wa riadha, Fred Kerley, ametangaza kuingia katika Uislamu, akishiriki tukio hilo takatifu kupitia video aliyopakia kwenye Instagram.
Habari ID: 3480906    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

Wanamichezo Waislamu
IQNA – Patrice Beaumelle, kocha wa soka wa Ufaransa ambaye kwa sasa anaongoza timu ya Mouloudia d'Alger katika ligi kuu ya soka ya Algeria, amesilimu.
Habari ID: 3478748    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/28

Kususia utawala wa Kizayuni wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wamempongeza mmoja wa wanamichezo shujaa wa Algeria ambaye amekataa kwenda kucheza mpira katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel ikiwa ni kuendeleza harakati ya kimataifa ya kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestinaa na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475552    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29