iqna

IQNA

gharika
Shakhsia katika Qur'ani/9
TEHRAN (IQNA) – Katika historia, adhabu mbalimbali zimetumwa na Mwenyezi Mungu kwa wale waliofanya madhambi makubwa. Adhabu ya kwanza kati ya hizo ilikuwa gharika iliyokuja wakati Nuhu (AS) alipokuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475884    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05