iqna

IQNA

IQNA – Usiku wa tarehe 7 hadi 8 Septemba 2025, tukio nadra la kupatwa kwa mwezi kwa jumla, linalojulikana kama Mwezi Mwekundu, litaonekana katika maeneo mengi duniani. Tukio hili la kiasili litaambatana na kuswaliwa kwa swala maalumu ijulikanayo kama Sala ya Ayat na Waislamu katika sehemu mbalimbali.
Habari ID: 3481191    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07

Maumbile na Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika nchi za Kiislamu huandaa sala maalum inayoitwa ' Salat Al-Ayat' wakati wa kupatwa kwa jua au mwezi, na kesho kutakuwa na kupatwa kwa jua
Habari ID: 3475984    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24