iqna

IQNA

ismail
Shakhsia Katika Qur’ani /17
TEHRAN (IQNA) – Is’haq alikuwa mtoto wa pili wa Nabii Ibrahim (AS). Is’haq (AS) alikuja kuwa mtume baada ya kaka yake Ismail (AS).
Habari ID: 3476157    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27

Shakhsia Katika Qur’ani /16
TEHRAN (IQNA) – Ismail alikuwa mtoto wa kwanza wa Nabii Ibrahim –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-(AS). Baada ya kuzaliwa, Ismail alipelekwa Makka pamoja na mama yake Hajar kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Uhamaji huu ulikuwa mwanzo wa historia iliyotangaza kuwasili kwa Uislamu.
Habari ID: 3476124    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21