Waislamu nchini Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Gavana wa Jimbo la Borno la Nigeria Ijumaa alitangaza ufunguzi wa mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Mafunzo ya Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Usman Dan Fodio.
Habari ID: 3476259 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17